JINSI YA KUJUA KAMA SIMU/LINE YAKO INATUMIKA/INAONWA NA MTU MWINGINE
piga namba *#61# angalia kama imeandikwa neno FORWARDED uje kuna mtu anasikiliza mazungumzo/sms zako.
Na kama ikionyesha neno NOT FORWARDED basi uko salama.
Kuondoa au kumzuia mtu asiendelee kutumia namba yako piga ##21# ili kuondoa monitoring device kwenye namba yako.
Watumie na wengine kuwajulisha matukio haya

Nitafanya nn ili nimtoe kote anapo ipokea wakati ninapo pingiwa
JibuFutaDotto Mamba
FutaSiitaji mtu yeyote ashilikiane kimakngez au sms kwanjia ya sili bila izniyangu yawe mawasiliano ya kawaidatu
JibuFuta