Machapisho

UKURASA WETU INSTAGRAM

Follow me on Instagram! Username: readmetz INSTAGRAM YETU

MITANDAO YETU YA KIJAMII

Picha
  Jiunge katika makundi mbalimbali ya mitandao yetu ya kijamii.  Kujiunga na Group BONYEZA HAPA .  Channel Yetu ya Telegram INGIA HAPA Unaweza kutupata kupitia mitandao mbali mbali ya jikamii kama ilivyooneshwa kwenye picha hiyo. 

TOTO TUNDU EP: 01

Picha
 STORY: TOTO TUNDU Episode : 01 Mwandishi : Elton Mackintosh Whatsapp Group UTANGULIZI:- Samaki mkunje angali mbichi. Naam! Nilikunjwa na ulimwengu wa mapenzi, mapema nikiwa hata sijui nini maana yake. Niliyacheza kama mchezo nikiwa nakua; na kuvunja mioyo ya wanawake wengi wakubwa na wadogo.      Ni naitwa Jonathan Miyagi, na hivi ndivyo nilivyo tambulishwa kwenye ulimwengu wa mapenzi na jinsi tufani niyo inavyo sambaratisha maisha yangu kwa sasa. MUHIMU: Hadithi hii imebeba maudhui ya kiutu uzima. Hadithi hii si ya kweli, Visa, Mikasa na Wahusika ni vya kubuni. (Usisome kama huna mwenza ama hujafikisha umri wa miaka 18) . Asante! SURA YA KWANZA :-       Ni ukweli usiopingika kwamba nina muonekano mzuri. Wasichana wengi walipenda kucheza na mimi kipindi cha utotoni. Hata waliokuwa wakubwa waliniangalia kwa jicho la matamanio, Japo sikuweza kutambua hilo kwa wakati huo. Mwanzo wa Yote ni Kipindi Nilipokuwa darasa la Tano.       Nilipokuw...

KITANDA DARASA EP 4

KITANDA DARASA Episode:-04 KWANINI WANAUME WENGI WANASHINDWA KUWARIDHISHA WAPENZI WAO Mpaka sasa nadhani umeanza kupata mwanga wa nini nachojaribu kuzungumzia. Kama umesoma vizuri episode (sehemu) tatu (3) zilizopita sasa utakuwa umepata picha ya makosa gani ambayo unakuwa umekuwa ukiyafanya na pia ninatumaini nimekusaidia kwa namna moja au nyingine kukuongezea ujuzi uliokuwa umepungukiwa au kukosa kabisa. Kwa ambao bado hawajafaidika na wala kupata msaada wowote kutoka kwenye mjadala huu basi nawaomba radhi sana. Nawashauli waendelee kufuatilia kuna mambo mengi mazuri yanakuja. TUENDELEE…… Pia sababu nyingine inayopelekea tatizo hili ni dhana potofu. Kuna dhana mbalimbali ambazo watu wengi wamezijenga ambazo hazina msingi wowote. Moja ya dhana hizo ni kama:- ·         KUWA NA UUME MKUBWA UTAWEZA KUMRIDHISHA MPENZI WAKO. ·         KUPIGA NDIO KUWEZA AU KUJUA MAPENZI ·     ...

KITANDA DARASA EP 3

Picha
KITANDA DARASA Episode: 03 Imeandaliwa na Mr Android Tz KWANINI WANAUME WANASHINDWA KUWA RIDHISHA AU KUWAFIKISHA WAPENZI WAO KILELENI. Kama tulivokuwa tumeishia kwenye mjadala wetu wa awali, tumeona namna mbalimbali ambazo mwanaume anaweza kutumia kujizuia kufanya papara wakati akiwa kwenye maandalizi ya tendo la ngono (sex) Leo tutatazama sababu ya pili. Sababu ya kwanza tulisema ni papara. Nyingine ni:- 2. UVIVU Hii inawahusu zaidi wanawake.{WAKINA DADA MPO????} wanawake (walio wengi sio wote)   wanadhani kuwa katika kufanya tendo shughuli nzima ni ya mwanaume {HAPANA} mapenzi yanahitaji ushirikiano kutoka pande zote mbili , ni kama kila mmoja kumsogelea mwenzie na kukutana njiani, ukisubiri kufuatwa ulipo utasubiri sana. Wadada jueni hili hisia za wanaume ni kama sufuria, hupata moto haraka pia hupoa haraka pindi ukilitua kwenye moto. Na wakaka mjue hili , hisia za mwanamke ni kama chungu huchelewa kupata moto na pia huchelewa kupoa hata ukikitua kwenye m...

KITANDA DARASA EP.2

Picha
KITANDA DARASA Episode:- 2 Imeandaliwa na Mr Android Tz KWANINI WANAUME WANASHINDWA KUWA RIDHISHA AU KUWAFIKISHA WAPENZI WAO KILELENI. Tuendelee tulipoishia mara ya mwisho. Tulijadili sababu kubwa inaypelekea wanaume kushindwa kuwaridhisha wapenzi wa ni papara. Kwa upe wangu na uchunguzi wangu mdogo nilio fanya nimeona jambo hilo (papara) linasababishwa na mambo yafuatayo: ·         MAZINGIRA KUTOKUWA RAFIKI Yawezekana mazingira unayoenda kufanyia tendo hilo sio rafiki hayakupi utulivu wa akili na nafsi, labda unaogopa mazingira hayo yanaweza kusababisha ukaonwa au ukakutwa na watu wengine ukitenda tendo hilo (kufumaniwa). Definitely hautokuwa amani bali utafanya mambo haraka haraka ili upate kumaliza na kuondoka {MAPENZI HAYANOGI HIVYO SISTA/BRO} ·         MUDA Wapo wenye mapenzi ya kuiba iba, either anakaa na wazazi au anachepuka hivyo anatakiwa kucheza na muda ili asistukiwe,muda mdogo ana...