KITANDA DARASA EP 4


KITANDA DARASA

Episode:-04

KWANINI WANAUME WENGI WANASHINDWA KUWARIDHISHA WAPENZI WAO
Mpaka sasa nadhani umeanza kupata mwanga wa nini nachojaribu kuzungumzia. Kama umesoma vizuri episode (sehemu) tatu (3) zilizopita sasa utakuwa umepata picha ya makosa gani ambayo unakuwa umekuwa ukiyafanya na pia ninatumaini nimekusaidia kwa namna moja au nyingine kukuongezea ujuzi uliokuwa umepungukiwa au kukosa kabisa. Kwa ambao bado hawajafaidika na wala kupata msaada wowote kutoka kwenye mjadala huu basi nawaomba radhi sana. Nawashauli waendelee kufuatilia kuna mambo mengi mazuri yanakuja.
TUENDELEE……

Pia sababu nyingine inayopelekea tatizo hili ni dhana potofu. Kuna dhana mbalimbali ambazo watu wengi wamezijenga ambazo hazina msingi wowote. Moja ya dhana hizo ni kama:-
  1. ·        KUWA NA UUME MKUBWA UTAWEZA KUMRIDHISHA MPENZI WAKO.
  2. ·        KUPIGA NDIO KUWEZA AU KUJUA MAPENZI
  3. ·        MWANAUME ANATAKIWA KUJUA CHA KUFANYA (Wanawake)

Kwa uchunguzi wangu usiokuwa rasmi nimekutana na fikra za na mna hii kwa watu mbalimbali jamaa na marafiki na ukweli ni kwamba hizo fikra ZINAWEZA kuwa potofu kutokana na mazingira fulani.
  • ·        KUWA NA UUME MKUBWA UTAWEZA KUMRIDHISHA MPENZI WAKO

Hoja hii ni KWELI pia SIKWELI. Nguvu/Msingi wa hoja hii unatokana na ukweli kwamba Uume mkubwa unaweza kufika ndani zaidi na pia unaweza kugusa sehemu zote za ndani ya uke wa mwanamke. Hivyo unaweza kumpa raha na hata kumfikisha kwa urahisi zaidi ukiringanisha na  mtu mwenye Uume wa kati/mdogo. Pia Mwanaume mwenye Uume mkubwa anafaida ya kuweza kushiriki mitindo (staili/styles) nyingi tofauti tofauti ukiringanisha na mwanaume mwenye Uume mdogo hali yake inamzuia kushiriki baadhi ya mitindo.
Udhaifu wa hoja hii ni kwamba, kumridhisha mwanamke sio kitendo cha kuchomeka na kuchomoa ni jambo ambalo linahusisha mlolongo wa hatua mbalimbali kwa usahihi. Embu fikiria kama unaweza kumridhisha bila hata kumuingilia je Uume wako utashindwa kufanya kazi hiyo? Jiamini kuwa unaweza kufanikisha kazi hiyo kwa huohuo Uume ulionao. Kuna michezo mbalimbali ambayo usipo ijua huwezi kunoga, hata kama una Uume mrefu mpaka Morogoro. Utaishia kumuumiza tu mtoto wa mwanaume mwenzio tu.
UUME MKUBWA NI UPI?
Yawezekana unasikia tu kuhusu Uume mkubwa (mashine) na Uume mdogo(kibamia). Je ulishawahi kujiuliza mkubwa ni upi na mdogo ni upi? {SASA SIKILIZA NIKWAMBIE}
Kwa mujibu wa sayansi (kutokana na majarida mbalimbali niliyo yasoma) Ukubwa wa Uume umewekwa katika makundi manne
1.      UUME MDOGO.
Huu ni ule wa kuazia urefu wa inch 0-3. Mtu mwenye urefu huu wa uume wao ndio wamemweka kwenye kundi la Uume mdogo (Kibamia wengine wanaita).
2.      UUME WA KATI.
Huu ni ule unaoanzia urefu wa inch 4-6. Nahuu unatosha sana kumridhisha mwanamke kimapenzi.{JAPO MADADA ZETU WA SIKU HIZI WAMEANZA KUTUMIKA TANGU WADOGO ,HATA HUO KWAO NI KIBAMIA}
3.      UUME MKUBWA
Kwa mujibu wa majarida hayo ule unaoanzia urefu wa inch 7-9 ndiyo uume mkubwa (Mashine) {HONGERA KWA WALIOFIKA HUKO KOTE}
4.      UUME MKUBWA ZAIDI (EXTRA LARGE/MONSTER COCK n.k)
Huu unaanzia inch 10+ (na kuendelea) kama mmeshawahi kuangalia video nyingi za kuigiza za ngono utaziona.

Ukijua namna sahihi ya kumwandaa mpenzi wako kabla ya tendo huna haja ya kufika mbali kote huko. Kama maumbile yako ni makubwa basi usibweteke ongeza na maujanja mengine ili uweze kunoga zaidi kwani ukubwa pekee hutoshi.

TUTAENDELEA……

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Madam Lilly Sehemu Ya Pili

Madam Lilly Sehemu Ya Tano

Madam Lilly Sehemu Ya Tatu