KITANDA DARASA EP.1



KITANDA DARASA
Episode ; 1
Imeandaliwa na Mr Android Tz

KWANINI WANAUME WANASHINDWA KUWA RIDHISHA AU KUWAFIKISHA WAPENZI WAO KILELENI.



Swala la Wanaume kufanikiwa kuwafikisha wake/wapenzi wao kileleni limekuwa ni swala gumu kwa wanaume wengi,hali inayopelekea kutowaridhisha wapenzi au wake zao. Hilo nadhani mnalifahamu.

Ambacho wengi hawajui ni kwamba Swala la kuridhishana kimapenzi sio swala la kutegemea mwanaume tu bali ni huhitaji ushirikiano wa karibu wa wapenzi wote wawili.

Nisikuchoshe tuingie moja kwa moja kwenye mada yetu.

Kwa mujibu wa utafiti wangu usio rasmi nilio ufanya juu ya jambo hili kupitia rafiki zangu wa karibu na hata mimi mwenyewe (sometimes) niimegundua makosa kadhaa ambayo wapenzi wengi wanayafanya kisha hupelekea kuharibu ladha ya tendo zima la ndoa (sex)

Moja ya sababu hizo ni :-

1.PAPARA
Papara ni namna ya kufanya jambo kwa haraka bila maandalizi yoyote (maandalizi ya kutosha). Swala ambalo lina tukumba wanaume wengi duniani inapokuja kwenye swala la kufanya mapenzi. {jamani wanaume tunakimbilia wapi mbona haiyeyuki ipo tu inakungoja}

Tendo linahitaji utulivu wa mwili na akili ili liweze kukamilika kikamilifu. Ila wanaume tumekuwa na papara hasa tunapokutana na mwanamke kwa mara ya kwanza. {KUMBUKA;unapokutana na mwanamke kwa mara ya kwanza ndio wakati mzuri wa kung'ara /kushaini hivyo unahitaji kuonesha ufundi.TULIA}

Licha ya kukutana na mwanamke kwa mara ya kwanza Wanaume tuna tabia ya kuwa na papara tunapojawa na mihemko (mzuka) ni kawaida kwani ndivyo tulivyo umbwa ,lakini haimaanishi kuiruhusu mihemko kukuendesha unatakiwa kuiendesha wewe, au itakupelekea kushindwa kumfurahisha mwenzio kisha uonekane huna maana.

ENDELEA KUFUATILIA SEHEMU YA PILI NIKUPE ELIMU YA KUTOSHA.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Madam Lilly Sehemu Ya Pili

Madam Lilly Sehemu Ya Tano

Madam Lilly Sehemu Ya Tatu