KITANDA DARASA EP.2
KITANDA DARASA
Episode:- 2
Imeandaliwa na Mr Android Tz
KWANINI WANAUME WANASHINDWA KUWA RIDHISHA AU KUWAFIKISHA WAPENZI WAO KILELENI.
Tuendelee
tulipoishia mara ya mwisho. Tulijadili sababu kubwa inaypelekea wanaume
kushindwa kuwaridhisha wapenzi wa ni papara.
Kwa upe
wangu na uchunguzi wangu mdogo nilio fanya nimeona jambo hilo (papara)
linasababishwa na mambo yafuatayo:
·
MAZINGIRA
KUTOKUWA RAFIKI
Yawezekana
mazingira unayoenda kufanyia tendo hilo sio rafiki hayakupi utulivu wa akili na
nafsi, labda unaogopa mazingira hayo yanaweza kusababisha ukaonwa au ukakutwa
na watu wengine ukitenda tendo hilo (kufumaniwa). Definitely hautokuwa amani
bali utafanya mambo haraka haraka ili upate kumaliza na kuondoka {MAPENZI
HAYANOGI HIVYO SISTA/BRO}
·
MUDA
Wapo wenye
mapenzi ya kuiba iba, either anakaa na wazazi au anachepuka hivyo anatakiwa
kucheza na muda ili asistukiwe,muda mdogo anaopata anafanya na kuondoka {BADO
HAMNA MNACHOFAIDI}.
·
MIHEMKO
Sasa hapa
ndio penyewe naomba unisome vizuri.
Hili suala
linatufelisha wanaume wengi hata kama hakabiliwi na hizo changamoto nyingine
hapo juu. Ni kweli mzuka unavopanda unaweza kujikuta umesha panda juu na kuanza
kula tunda lakini ukiendekeza itakuwa ni tabia tenda tabia sugu. {HUJACHELEWA
BADO LIPO SURUHISHO}
JINSI YA
KUKABILIANA NA CHANGAMOTO HIZI.
·
ANDAA
MAZINGIRA RAFIKI
Mapenzi
(sex) ni tendo la kuheshimiwa sana hivyo linapaswa kufanywa mahali pa tulivu.
Sio lazima kitandani au chumbani {LAZIMA UWE MBUNIFU} ,bali mahali popote penye
faragha (privacy) ambapo wote wawili mtakuwa na amani napo.
·
TENGENEZA/ANDAA
MUDA
Jamani,
tendo hili halihitaji haraka hata kama mazingira yanakubana tengeneza mpango
(plani) mzuri ambao utakupatia muda wa
kutosha kulitenda. Bora ulifanye mara moja kwa muda mrefu ila ulifanye
kikamilifu.
·
KABILIANA
NA MIHEMKO YAKO
Hili ndio
somo muhimu zaidi {TULIA}
Watu
wanaopapalika kwa sababu ya mihemko ni watu wasio jiamini {UNAOGOPA ATAGHAILI?
HAHAHHAHAHA}. Kuna namna nyingi za
kukabiliana na mihemko hiyo ila kwa sasa tutajadili namna mbili tu.
1) JICHUE/PIGANYETO (MASTURBATION)
{UNASHANGA???} Sio kitu cha kuzoea ila mara mojamoja
kinasaidia kwenye mchezo. Fanya hivyo nusu saa au saa moja kabla ya mchezo. Muda
ambao mihemko/mzuka umepoa unaweza kuutumia sasa kumuandaa mpenzio bila kuwa na
papara, pia itakusaidia kudumu muda mrefu pindi utakapo anza mchezo.
2) USIVUE NGUO ZOTE
{NDIYO! USIVUE NGUO} Kwanini nasema hivi, unapovua nguo na
kumvua nguo mpenzi wako ni ngumu kujizuia kumuingia pasina kuwa hujamuandaa vya kutosha. Mwache angalau
na chupi. Usifike tu na kumvua nguo , mvue ukiwa unaendelea kumuandaa. Mfano:-
Unaweza kuanza kwa kumkiss kwanza mdomoni au shingoni kisha ukamtoa nguo ya
juu. Usianze na kumvua ndio umuandae {ACHA KUWA RASMI HIVYO}.
Mnyanyue nyanyue kidogo angalau mbananishe ukutani mkiss
mtupie kitandani mshike hapa na pale huku unamtoa nguo taratibu bro. mpaka
unamaliza vurugu zote hizo motto kalainika vizuri tayari kwaajili ya kuliwa.
KWA LEO INATOSHA. ENDELEA KUNIFUATILIA

Maoni
Chapisha Maoni