KITANDA DARASA EP 3
KITANDA DARASA
Episode: 03
Imeandaliwa na Mr Android Tz
KWANINI WANAUME WANASHINDWA KUWA RIDHISHA AU KUWAFIKISHA WAPENZI WAO KILELENI.
Kama
tulivokuwa tumeishia kwenye mjadala wetu wa awali, tumeona namna mbalimbali
ambazo mwanaume anaweza kutumia kujizuia kufanya papara wakati akiwa kwenye
maandalizi ya tendo la ngono (sex)
Leo
tutatazama sababu ya pili. Sababu ya kwanza tulisema ni papara. Nyingine ni:-
2. UVIVU
Hii
inawahusu zaidi wanawake.{WAKINA DADA MPO????} wanawake (walio wengi sio
wote) wanadhani kuwa katika kufanya
tendo shughuli nzima ni ya mwanaume {HAPANA} mapenzi yanahitaji ushirikiano
kutoka pande zote mbili , ni kama kila mmoja kumsogelea mwenzie na kukutana
njiani, ukisubiri kufuatwa ulipo utasubiri sana.
Wadada jueni
hili hisia za wanaume ni kama sufuria, hupata moto haraka pia hupoa haraka
pindi ukilitua kwenye moto. Na wakaka mjue hili , hisia za mwanamke ni kama
chungu huchelewa kupata moto na pia huchelewa kupoa hata ukikitua kwenye moto
{UMEPATA PICHA????}
Hivyo
mwanaume unapaswa kumchemsha mwanamke wako hadi atokote. Hilo haliwezekani kama
mwanamke ukienae hakupi ushirikiano. Unakuta mwanamke amelala tu kama
mjusi tu hafanyi chochote.
Hicho
kitendo ndicho kinacho haribu morali ya
kuendelea na mchezo. Hivyo wanawake wamchango mkubwa sana katika kunogesha
mchezo.
Jambo la
msingi mwanamke unalotakiwa kulijua ni kwamba anatakiwa kufanya kila analoweza
kuhakikisha kuwa yeye ndiye anayekuwa wakwanza kuridhika kabla ya mwanaume.
JINSI YA KUFANIKISHA
HILI
·
UWAZI
Usione aibu mweleze mpenzi wako unatamani akufanyie nini
sehemu gani ya mwili wako na kwa namna gani. Mwanamke unapaswa kuwa muwazi kwa
mpenzi wako. Kutokana na ukweli kwamba sio wanaume wote wanajua michezo ya
kimahaba (ROMANCE). Sio jambo la kutulaumu kwakuwa hakuna shule ya kufundisha
mambo hayo, hivyo kuna uwezekano mkubwa mtu ulienae amepitwa na utaalamu huo.
Kama utaona aibu kusema basi unaweza kumuongoza kwa vitendo
wewe mwenyewe. (mfano, unajisikia raha sana kupapaswa katika sehemu Fulani ya
mwili wako , basi ichukue mikono yake kisha ipeleke sehemu hiyo {HAKUNA
MWANAUME MJINGA WA KIUSHINDWA KUELEWA UNATAKA NINI})
Au unaweza kutumia kichwa cha uume wa mpenzi wako kujisugua
kis+m+ hadi ukafika {NIMEONA WANAWAKE WENGI INAWASAIDIA}
Hivyo basi
mdada kama ni mvivu acha kulalamikia mpenzi wako, jiulize wewe umefanya nini
kuhakikisha zoezi linafanywa kikamilifu? {AU NDIO ULIKUWA UMETULIA KAMA MPENZI
MTAZAMAJI}
TUONANE TENA
EPISODE INAYOFUATA…..ASANTENI

Maoni
Chapisha Maoni